Afisa Maendeleo ya uchumi wa jamii, kutoka GGML, Regina Mabula, akiwapatia maelezo wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Nyankumbu kuhusu mchoro wa 3D wa Uwanja wa Magogo ambao ni moja ya miradi inayofadhiliwa na GGML katika ujenzi wake.

27 Sep . 2023

Cheche  za  moto zilichochea moto huo, na kusababisha sehemu za dari kupata moto na kuanguka, maafisa wa moto walisema.

27 Sep . 2023

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt.Doto Biteko, (wa Nne kutoka kulia) akikata utepe kuashiria umeme kuwashwa. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Fatma Mwasa.

27 Sep . 2023

Picha: Noobspace, Google inasheherekea miaka 25 ya kutoa huduma mtandaoni.

27 Sep . 2023