![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/news/2023/09/26/WhatsApp Image 2023-09-26 at 5.40.36 PM.jpeg?itok=HfVMxv6R×tamp=1695740077)
Paez (63) alivamiwa na vijana wawili waliokuwa kwenye pikipiki akiwa kwenye gari lake na binti yake wakirudi nyumbani nje kidogo ya uwanja. Taarifa za jeshi la Polisi nchini Colombia zinasema mtoto wake alitoka akiwa mzima na mamlaka zinaendelea na zoezi la upelelezi kwa waliohusika.