Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Afrikasongs yavujisha siri ya utajiri kwa wasanii

Wednesday , 14th Dec , 2016

Kampuni ya burudani ya Afrikasongs.com inayofanya shughuli ya kuuza nyimbo za wasanii kwa njia ya mtandao imefichua siri kwa wasanii wa Tanzania wenye nia ya kutajirika kupitia kazi zao za muziki.

Dully Sykes kwa niaba ya Afrikasongs.com akiwa jukwaani tayari kukabidhi tuzo ya wimbo bora wa mwaka

Mwakilishi wa kampuni hiyo ambayo pia ilikuwa ni moja ya wadhamini wa Tuzo za EATV, Dully Sykes amewashauri wasanii wa Tanzania kuuza kazi zao kupitia kampuni hiyo ili kupata pesa zinazoendana na ubora wa kazi zao kwa kuwa kampuni hiyo  inamlipa msanii asilimia 75 ya mauzo.

Dully amesema kampuni hiyo itaendelea kudhamini tuzo hizo hususani katika kipengele hicho cha wimbo bora wa mwaka, kwa kuwa wanaamini tuzo hizo zitafika mbali, na zitazidi kuwa bora ikizingatiwa pia kuwa EATV inafika mbali na kuwafikia watu wengi barani Afrika.

Pia Dully ambaye alikabidhi tuzo ya wimbo bora wa mwaka, amezungumzia maandalizi na utoaji wa tuzo hizo, huku akitoa maoni yake kuhusu washindi waliopatikana.

Msikilize hapa Dully Sykes......

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi