Kevin Durant amefunga kwenye dakika za nyongeza na kuipa ushindi timu yake ya  Phoenix Suns wa Vikapu 116 dhidi ya  vikapu 113 vya Los Angeles Clippers usiku wa  Oktoba 23,  mchezo uliochezwa  uwanja wa Intuit Dome. 

24 Oct . 2024

Kocha wa Liverpool ya Uingereza Arne Slot raia wa Uholanzi  ameweka rekodi  ya Kuwa  Mkufunzi  wa kwanza kushinda michezo 11 kati ya 12 iliyocheza mwanzoni mwa msimu  na kuweke rekodi ya klabu hiyo

24 Oct . 2024

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene

24 Oct . 2024

Klabu ya Namungo ya Ruangwa mkoani Lindi imemtangaza Juma Mgunda kuwa Kocha wao mkuu kuchukua nafasi ya Mwinyi Zahera ambaye amepangiwa majukumu mengine ndani ya klabu hiyo

24 Oct . 2024