Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Watanzania ni watumwa katika nchi yao'' -Bulembo

Friday , 18th May , 2018

Mbunge wa kuteuliwa AbdallaH Bulembo amemtaka Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, kuunda Tume maalumu ya Bunge ambayo itachunguza  madhara  waliyopata wananchi kutokana operesheni mbalimbali za kuzuia uvuvi haramu nchini.

Bulembo amesema hayo leo Mei 18, 2018 Bungeni mjini Dodoma alipokuwa anachangia hoja ya kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya mifugo na uvuvi katika mwaka wa fedha 2018/2019 na kuongeza kuwa wananchi wamekuwa watumwa katika nchi yao kutokana na kunyanyasika na operesheni hizo.

“Baada ya miezi tisa mnaenda kuomba kura kwenye serikali za mitaa, mnaenda kusema nini kwa hali hii? mnaendaje kuongea na watu hawa? mtanzania anakuaje mtumwa kwenye nchi yake? wafanyakazi wanalia, wafanyabiashara wanalia, watu wote wanalia inawezekanaje, Mpina huwatendei haki watanzania na hii kuna siku Mungu atahukumu, watu wamekuwa watumwa kwenye nchi yao kwasababu ya kuvua” amesema Bulembo.

Mbunge huyo ameongeza kuwa Waziri wa mifugo na uvuv Luhaga Mpina amekua kiongozi asiyependa kusikiliza shida wanazopata wananchi kutokana na uendeshwaji mbovu wa operesheni hizo, Bulembo amesema “wafugaji wanadhambi gani, kufuga ni dhambi? waziri anafuatwa mpaka kwenye viwanja vya Bunge hataki kuwasilikiza watu, wewe ni waziri wa nani? kama hauwahudumii watu uwaziri wako ni wa nini?”

Bulembo amedai kwamba hataunga mkono hoja ya Wizara Mifugo ya Uvuvi mpaka pale itakapoundwa Tume na waziri husika kusimamisha operesheni kwani katika operesheni hizo wapo baadhi ya watu ambao walipigwa risasi na wengine kujinyonga.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ