Kocha wa zamani wa klabu ya Simba amesaini mkata wa kuitumikia timu ya Al Ahly Tripoli ya nchini Libya. Didie Gomes Da Rosa alikuwa akifundisha timu ya taifa ya Botswana kabla ya kujiuzulu nafasi yake na kutangazwa kwenye klabu hiyo ya Libya kuwa Kocha wao mkuu. Gomes raia wa Ufaransa alishinda taji la ligi kuu Tanzania bara, kombe la shirikisho Tanzania ( FA ) na aliiwezesha klabu ya Wekundu wa Msimbazi kucheza hatua ya robo fainali kombe la klabu bingwa Afrika msimu wa 2021.

17 Oct . 2024

Waziri wa Madini Anthony Mavunde

16 Oct . 2024

Dkt.Doto Biteko, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati

16 Oct . 2024

Dkt.Doto Biteko, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati

16 Oct . 2024

Dkt.Doto Biteko, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati

16 Oct . 2024

Dkt.Doto Biteko, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati

16 Oct . 2024