Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nusu ya wanaopata fistula hawafiki hospitali

Tuesday , 23rd May , 2017

Wanawake nane kati ya 10 wenye ugonjwa wa fistula wanaopokelewa katika hospitali ya walemavu ya CCBRT Jijini Dar es Salaam huwa wanafanyiwa vitendo vya unyanyapaa kwenye ngazi ya familia na jamii kutokana na kuugua ugonjwa huo.

Msimamizi mkuu wa wodi ya wagonjwa wa fistula katika hospital ya CCBRT, Bi. Mariam Karata ameaimbia Kurasa ya EATV kuwa katika wanawake hao kumi, saba kati yao nao wamechwa na waume zao baada ya kupata maradhi hayo ya Fistula.

Kwa upande wao baadhi ya wanawake waliopata ugonjwa huo wameziomba familia na jamii kuacha kuwanyanyapaa watu wenye tatizo la Fistula badala yake kuwasaidia kwa kuwapa elimu ambayo itawasaidia kupata matibabu sahihi kwa kuwa ugonjwa huo unatibika kabisa.

"Sisi tuishauri jamii, Fistula ni tatizo...Tunaita fistula ya uzazi kwa sababu inawapa wakina mama kipindi cha kujifungua kutokana na uchungu pingamizi wa muda mrefu na fistula inatibika wasiwanyanyapae.....Hili tatizo linaweza likamkuta mtu yoyote hakuna anayemjua litakayemkuta lakini ni tatizo ambalo halitokani na imani za kishirikina". Alisema Karata 

Takwimu za ugonjwa wa fistula hapa nchini zinaonesha kuwa takribani wanawake elfu 3 wanapata tatizo la ugonjwa huo kila mwaka kati ya hao nusu yake ndio wanafika hospitali kwa ajili ya kupata matibabu.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ