Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Namthamini leo yaibukia Buza

Saturday , 19th May , 2018

Kampeni ya Namthamini inayoendeshwa na kampuni ya EATV LTD yenye lengo la kuwasaidia watoto wa kike wanapokuwa katika kipindi cha hedhi imewafikia wanafunzi wa shule ya sekondari Buza.

Akiwasilisha msaada huo Afisa Masoko wa EATV LTD Basilisa Biseko amesema kuwa lengo la Kampeni hiyo ni kumsaidia mtoto wa kike kuondokana na tatizo la kushindwa kuhudhuria shuleni wakati wa kipindi cha hedhi.

“Namthamini imekuja ili kusaidia kuondokana na tatizo la mabinti wengi wa kitanzania kutohudhuria vipindi mashuleni pindi wanapokuwa kwenye hedhi kutokana na kukosa taulo za kike”, amesema Basilisa.

       Mbunge wa Temeke Mh. Abdallah Mtolea akigawa taulo za kike kwa mabinti wa Sekondari ya Buza.

Kwa upande wake Mbunge wa Temeke Mh. Abdallah Mtolea ameishukuru EATV kwa kutambua na kuthamini mchango wa mtoto wa kike katika Jamii na kuahidi kuwa ataungana nao katika kufanikisha kampeni hiyo miaka yote.

Naye Mkuu wa shule ya Sekondari Buza Bi. Ruthbetha Magomi amesema kuwa elimu kuwa msaada huo kwa shule yake utasaidia kunufaisha mabinti wengi ambao wanapata changamoto pindi wanapokuwa katika mzunguko wa hedhi.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ