Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mahakama yazuia Mbowe kukamatwa

Tuesday , 21st Feb , 2017

Kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kufuatia kutajwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda katika sakata la dawa za kulevya imeunguruma leo ambapo mahakama kuu imeweka zuio la muda kwa Mbowe kukamatwa.

Freeman Mbowe na wanasheria wake, nje ya mahakama

Akizungumza nje ya Mahakama, Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu amesema mahakama imekubali maombi ya chama hicho ya kuweka zuio kwa Jeshi la Polisi kumkamata Freeman Mbowe hadi hapo shauri hilo litakaposikilizwa, maombi ambayo yamekubaliwa.

Pia amesema mahakama imetoa nguvu kwa jeshi la polisi kumuita Mbowe kwa ajili ya mahojiano lakini si kumkamata.

Lissu amesema maamuzi mengine yaliyotolewa na mahakama ni kumtaka mleta maombi ambaye ni Mbowe, kufanyia marekebisho maombi yao kwenye shauri la msingi kwa kumuingiza Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Maombi hayo yanayohusu zuio la Mbowe kukamatwa yatasikilizwa tena kesho kutwa Februari 23 katika mahakama ya wazi, lakini kesi yenyewe itasikilizwa terehe 8, mwezi Machi baada ya kuwa wamefanyia marekebisho maombi yao.

Huyu hapa Tundu Lissu akifafanua

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ