Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kikwete akubali kutoa shamba lake

Wednesday , 22nd Nov , 2017

Rais mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Dkt. Jakaya Kikwete amekubali shamba lake la mifugo lililopo kijijini kwake Msoga Bagamoyo litumike kama shamba darasa.

Mh. Jakaya Kikwete amekubali ombi hilo kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kilichopo mkoani Morogoro, baada ya kutembelea chuoni hapo akiwa na wataalamu wake wa mifugo kwa lengo la kujifunza mambo mbalimbali kuhusu kilimo na mifugo.

Uongozi wa SUA ukatumia nfasi hiyo kuwasilisha ombi lao kwa Mh. Kikwete ambaye alikubali na rasmi kuingia makubaliano ya pamoja ili kulitumia shamba lake la mifugo kama shamba darasa la kutolea elimu ya vitendo kwa wanafunzi wao, wataalamu wa mifugo na wafugaji.

Aidha Rais Mstaafu ameeleza kulizishwa na mafunzo aliyoyapata chuoni hapo na kutoa ahadi ya kuendelea kushirikiana na chuo hicho kwa lengo la kuleta mabadiliko ya kisayansi ya sekta ya ufugaji iweze kumletea tija mfugaji.

Rais Mstaafu Kikwete kwa sasa amejikita zaidi kwenye suala la ufugaji wa kisasa wa ng’ombe wa maziwa, kilimo cha mazao ya chakula na matunda hasa mananasi kijijini Msoga, Chalinze , wilayani Bagamoyo, mkoa wa Pwani.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini