Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

AUDIO: Kala amwangukia Mwakyembe

Tuesday , 23rd May , 2017

Msanii wa hip hop, Kala Jeremiah amemuomba Waziri Mwakyembe kutengua kauli yake ya kuwataka wasanii waache kuimba nyimbo zinazohusu siasa, kwa madai kuwa ni kuwatenga mbali na jamii inayotegemea wasanii kuwasemea mahitaji yao.

Akizungumza kwenye 'story' tatu ndani ya Planet Bongo, Kala amesema kuwa kauli ya  Mh. Mwakyembe haiko sawa kwani inatengeneza 'gap' kubwa kati ya jamii na wasanii na kuongeza kwamba siasa zinazoimbwa na wasanii ndizo ambazo zinasaidia jamii na wakati mwingine zinasaidia serikali kutopoteza pesa.

Aidha Kala amendelea kufunguka kwamba yeye kama msanii anayeimba harakati kwa ajili ya kusaidia jamii yake kauli ya Waziri ni kama inamlazimisha kuimba nyimbo za mapenzi kitu ambacho kwake hakitampa tatizo lakini hasara itakuwa kwa jamii inayohitaji kusemewa.

 Pamoja na hayo Kala amefunguka na kusema wimbo wake alioimba kuwasemea watoto yatima 'Wanandoto' umempatia sifa kubwa kutoka kwenye mashirika mbalimbali yanayojihusisha na kusaidia watu wenye matatizo na kumpongeza kwa kuweza kufikisha ujumbe mzito pasipo kutumia gharama kubwa sana.

Msikilize hapa chini Kala akifunguka kwa undani zaidi.

 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi