Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aliyerekodi Madiwani CHADEMA apiga mkwara

Saturday , 21st Oct , 2017

Diwani wa Mbuguni, Bw. Ahimidiwe Ali Rico amesema kwamba watu wasihamishe mjadala wa kuhusu mamlaka ya kurekodi madiwani waliohama Chama cha demokrasia na Maendeleo, CHADEMA na badadala yake mjadala ni kuhusu kupambana na rushwa.

Bw. Ahimidiwe amesema kwamba hana unafki wala nidhamu ya uoga ndiyo maana aliamua kufanya kazi hiyo ili kulikomboa taifa kutoka kwenye harufu ya rushwa na kuwataka wanaozusha maneno watulie kabla hajawaaibisha zaidi.

Diwani huyo ameweka wazi kwamba mkakati huo wa kurekodi na kuwachunguza viongozi wanapokea na kutoa rushwa ulianza muda mrefu na kwamba yupo makini katika hilo na wala siyo filamu kama jinsi ambavyo wanasiasa hao walivyoanza kuzusha.

"Mchezo uliokuwa unafanywa Arumeru nilianza kuufanyia kazi muda mrefu baada ya kuona madiwani wanaondoka kama njugu. Ushahisdi wa kifaa kilichotumika kipo tyayari Takukuru na sijataka kuingilia ushahidi wao hivyo ni jukumu lao kuonyesha kwa watanzania namna haki inavyotendeka" Ahimidiwe

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi