Macron akutana na Xi Jinping Beijing

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amekutana na Rais wa China Xi Jinping jijini Beijing, katika ziara ya siku tatu yenye lengo la kusisitiza juhudi za kusitisha vita nchini Ukraine na kuimarisha uhusiano wa kibiashara kati ya mataifa hayo mawili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS