Lengo langu ni Ureno kushinda siyo mimi kufunga

Cristiano Ronaldo - Nahodha wa kikosi cha Ureno

Nahodha wa timu ya Taifa ya Ureno na Klabu ya Al Nassr ya nchini Saudia Cristiano Ronaldo ameweka wazi malengo yake ndani ya kikosi cha Ureno ni kuona Timu inashinda na siyo yeye kufunga tu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS