Chelsea Kuilipa Man UTD Euro Milioni 5 kwa Sancho

Jadon Sancho na Cole Palmer

Chelsea italazimika kuilipa Manchester United ada ya pauni £5m ambazo ni zaidi ya bilioni 14 za Tanzania iwapo itaamua kutomsajili Jadon Sancho kwa mkataba wa kudumu msimu huu wa joto.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS