Bifu langu na Drake liliniyumbisha sana
Rapper Meek Mill amefunguka kuhusu kipindi kigumu alichopitia baada ya kuingia katika Bifu na Drake pamoja na kuvunjika kwa uhusiano wake na Nicki Minaj, matukio yaliyomfanya wengi kumkatia tamaa na kuamini kuwa safari yake ya muziki ilikuwa imefikia mwisho.

