Ajali yaua wanne Lindi
Watu wanne ambao bi wakazi wa kijiji cha Mtegu wilayani Lindi wamefariki dunia kufuatia ajali ya gari yenye namba za usajili T157 EAV iliyokuwa inatokea mkoani Ruvuma kuelekea Mtwara kuacha njia na kuwagonga wakazi waliokuwa wamekaa kwenye makazi yao.