Hatma tume ya uchunguzi kujulika Machi 6
Kesi ya kupinga uteuzi iliyoundwa kwaajili ya kuchunguza matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea nchini Oktoba 29.2025 na siku zilizofuata, inayoongozwa na Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Chande Othman imeendelea tena leo, Alhamisi Februari 26.2026, Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Da

