SUMATRA yasisitiza mabasi kupulizwa dawa ya mbu

Baadhi ya mabasi yanayofanya safari zake kutoka kituo kikuu cha mabasi Ubungo na ambayo Sumatra imekuwa ikisisitiza kuwa yapulizwe dawa kuua mbu wanaosambaza homa hatari ya Dengue.

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Nchi Kavu na Majini, SUMATRA Kanda ya Mashariki nchini Tanzania imezitaka kampuni zinazotoa huduma ya usafiri kuelekea mikoani na nchi za jirani kutokea Dar-es-Salaam kutii agizo la mabasi yote kupulizwa dawa kuua mbu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS