Yanga kuanza kujifua Jumatatu June 23

Kikosi cha Dar es salaam Yanga katika moja ya michezo ya ligi kuu Tanzania bara msimu uliopita.

Klabu ya soka ya Yanga inataraji kuanza mazoezi wiki ijayo wakiwa na kikosi cha wachezaji kadhaa ambao hawana majukumu ya kuziwakilisha timu zao za taifa

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS