Mafikizolo live in Dar

Kundi la wasanii kutoka Afrika kusini lijulikanalo kama Mafikizolo waliwasili nchini na kutoa burudani kali kwa wapenzi wa miondoko ya kwaito.

Kundi hilo liundwalo na mwanadada Nhlanhla Nciza na Theo Kgosinkwe walitumbuiza katika ukumbi wa Mlimani city Hall Aprili 5, 2014 .

Kundi hili linalojivunia umaarufu mkubwa wa afro pop kutokana na vibao vyao vingi kuchezwa sana kwenye hafla mbalimbali kund hili limeibukia umaarufu zaidi pale nyimbo zao mpya kama Khona na Happy kukonga nyoyo za mashabiki wengi zaidi barani Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS