Tanzania ina idadi kubwa ya wagonjwa wa saratani Mkurugenzi mkuu wa taasisi ya saratani ya Ocean Road. Taasisi ya saratani nchini Tanzania imesema kuwa serikali haina uwezo wa kuwapa tiba watoto zaidi ya 2000 ambao wanabainika kuugua ugonjwa wa saratani kote nchini Tanzania kila mwaka. Read more about Tanzania ina idadi kubwa ya wagonjwa wa saratani