Mkurugenzi mkuu wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa nchini Tanzania (TAKUKURU) Dkt Edward Hosea.
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU, imewakamata watu watatu, wakiwamo wahandisi wawili wa manispaa ya Kinondoni, ambao wanatuhumiwa kutoa vibali vya ujenzi kinyume cha sheria.