Idadi kubwa ya wajawazito hufa kwa kukosa damu

Afisa masoko wa mpango wa taifa wa damu salama Bw. Rajab Mwenda (kulia) akiwa katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

Zaidi ya asilimia 50 ya vifo vya akina mama wajawazito nchini Tanzania vinatokana na ukosefu wa damu katika vituo vya afya vya umma hali inayochangiwa kwa kiasi kikubwa na kutokuwepo kwa muamko wa wananchi kujitolea damu kwa hiari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS