Mwenyekiti wa CCM Busambala auawa kwa risasi Mwili wamarehemu ukitolewa ndani Mwenyekiti wa CCM kata ya Busambala wilayani Bitiama mkoa wa Mara ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi usiku wa kuamkia Jumamosi Tarehe 28/06/2014 Read more about Mwenyekiti wa CCM Busambala auawa kwa risasi