Mwenyekiti wa CCM Busambala auawa kwa risasi

Mwili wamarehemu ukitolewa ndani

Mwenyekiti wa CCM kata ya Busambala wilayani Bitiama mkoa wa Mara ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi usiku wa kuamkia Jumamosi Tarehe 28/06/2014

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS