Azam FC wakishangilia goli katika moja ya michezo yao ya ligi kuu ya Tanzania Bara ya msimu uliomalizika
Mdhamini mkuu wa ligi kuu ya soka ya Tanzania Bara Vodacom ametangaza kuipa klab ya Azam FC kitita cha shilingi milioni 75 baada ya timu hiyo kutwaa ubingwa wa ligi hiyo msimu huu.