Azam FC kuzawadiwa Mil.75

Azam FC wakishangilia goli katika moja ya michezo yao ya ligi kuu ya Tanzania Bara ya msimu uliomalizika

Mdhamini mkuu wa ligi kuu ya soka ya Tanzania Bara Vodacom ametangaza kuipa klab ya Azam FC kitita cha shilingi milioni 75 baada ya timu hiyo kutwaa ubingwa wa ligi hiyo msimu huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS