UKAWA wahimizwa kurudi kujadili rasimu ya katiba

Viongozi wa Umoja wa Katiba ya Watanzania (UKAWA), kutoka kushoto Freeman Mbowe wa Chadema, Profesa Ibrahim Lipumba wa CUF na James Mbatia wa NCCR Mageuzi, wakiteta jambo katika moja ya vikao vya umoja huo.

Wajumbe maalum wa bunge la katiba nchini Tanzania wamesisitiza kurudi bungeni kwa umoja wa katiba ya wananchi UKAWA ili kuweza kujadili kwa pamoja rasimu hiyo ya katiba na kuwapatia wananchi katiba iliyo bora.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS