Idadi kubwa ya wajawazito hufa kwa kukosa damu
Zaidi ya asilimia 50 ya vifo vya akina mama wajawazito nchini Tanzania vinatokana na ukosefu wa damu katika vituo vya afya vya umma hali inayochangiwa kwa kiasi kikubwa na kutokuwepo kwa muamko wa wananchi kujitolea damu kwa hiari.

