Benki ya Dunia Kufadhili Elimu nchini Tanzania.

Benki ya Dunia.

Bodi ya wakurugenzi ya Benki ya Dunia WB imeidhinisha Dola za Kimarekani milioni 112 kwa ajili ya kuisaidia Tanzania kuimarisha sekta ya Elimu kupitia Mpango wa matokeo makubwa Sasa BRN.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS