Watanzania wasikatae wawekezaji - Kikwete
Rais wa Tanzania Mhe. Jakaya Kikwete amewaonya watanzania kuacha tabia ya kukataa wawekezaji kuja nchini kuwekeza katika sekta mbalimbali, ikiwemo sekta ya mifuko ya hifadhi za jamii, badala yake wawakubali ili kuongeza uchumi wa Taifa.