Watuhumiwa kesi ya mtoto Nasra wanusurika kipigo

Baadhi ya wananchi waliokuwepo mahakamani wakitaka kuwashushia kipigo watuhumiwa kabla ya kuokolewa na askari kwa kupakiwa kwenye gari ndogo inayoonekana pichani

Watuhumiwa wa kesi ya kumfungia mtoto Nasra Rashid ndani ya box kwa miaka minne kabla ya kifo chake mnamo Juni Mosi wamerudishwa polisi kuhojiwa baada ya mtoto huyo kufariki ili kuangalia uwezekano wa kufunguliwa mashtaka mapya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS