Watanzania wasikatae wawekezaji - Kikwete

Rais wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete.

Rais wa Tanzania Mhe. Jakaya Kikwete amewaonya watanzania kuacha tabia ya kukataa wawekezaji kuja nchini kuwekeza katika sekta mbalimbali, ikiwemo sekta ya mifuko ya hifadhi za jamii, badala yake wawakubali ili kuongeza uchumi wa Taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS