Serikali yatoa angalizo michango mashuleni

Naibu waziri wa nchi, ofisi ya waziri mkuu TAMISEMI, Kassim Majaliwa.

Serikali ya Tanzania imeendelea kusisitiza kuwa imeondoa michango ya shule iliyokuwa ikichangiwa hapo awali isipokuwa kamati pamoja na bodi za shule zimepewa fursa ya kupanga michango ya shule zao inayohusu maendeleo kupitia vikao vyao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS