Mmoja wa mbu anayedaiwa kusambaza virusi vinavyosababisha homa hatari ya dengue.
Serikali imetenga Sh. Mil. 500 kwa ajili ya kunyunyiza dawa za kuua mazalia ya mbu kwenye maeneo chepechepe jijini Dar-es-salaam, katika jitihada za kukabiliana na ugonjwa wa Dengue.