Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Dkt Shukuru Kawambwa.
Umoja wa wamiliki wa shuke na vyuo binafsi nchini Tanzania TAMONGSCO umesema kwamba uko tayari kupunguza ada ya shule kwa asilimia 30 ikiwa serikali itafuta kodi ambayo shule na vyuo hivyo vinalipa.