Nuh akabiliana na 'Mchepuko' live FNL

Nuh Mziwanda na Shilole

Utata kuhusiana na sakata zima la taarifa za Nuh Mziwanda kumtia mimba mchepuko, na kusababisha vita kali kati yake na Shilole ambaye ni mpenzi wake, limepatiwa ufumbuzi usiku wa jana katika show kali ya burudani ya Friday Night Live.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS