JK aiomba India kusaidia ujenzi wa reli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameiomba Serikali ya India kukubali kugharamia ujenzi wa reli katika Jiji laDar es Salaam ili kupunguza misongamano mikubwa ya magari na kuongeza usanisi wa usafiri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS