CHADEMA Kilosa yapinga wananchi kuchangishwa pesa

Selemani Samba mwenyekiti wa mtaa Mlimani Boma Kilosa

Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro kimesema hakuna sababu wananchi kubebeshwa mizigo ya michango isiyoisha wakati wanakabiliwa na changamoto za kukosa huduma za afya na maji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS