msanii wa muziki Jaguar akisalimiana na Rais Kenyatta
Kazi mpya kutoka kwa msanii Jaguar wa nchini Kenya, imeonesha kuendelea kumvuta msanii huyo katika siasa akienda sambamba na muziki wake, akiwa mbioni kukamilisha projekti mpya kabisa inayokwenda kwa jina Barua kwa Raisi.