Kinana aonya matumizi mabaya ya fedha za umma. Serikali imetakiwa kupunguza matumizi yasiyo ya lazima zikiwemo sherere mbalimbali, ili kubana fedha kidogo zilizopo zielekezwe kwenye kukamilisha na kuibua miradi ya maendeleo ya wananchi. Read more about Kinana aonya matumizi mabaya ya fedha za umma.