RC Njombe aunda tume kuchunguza mauaji
MKUU wa Mkoa wa Njombe, Dk. Rehema Nchimbi ameunda tume huru ya watu 8 inayowashirikisha viongozi wa dini na serikali kwa ajili ya kuchunguza vurugu kubwa zilisababisha maandamano Mei 20, mwaka huu mjini Njombe.