Wakazi wa Chato wakabiliwa na janga la njaa

Wananchi wa kijiji cha Budili wilayani Chato mkoani Geita wanakabiliwa na janga la njaa kufuatia zao la muhogo linalotegemewa kwa chakula kushambuliwa na ugonjwa hatari wa batobato michirizi kahawiya na kusababisha wengi wao kukosa chakula.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS