Sheria ya Vyombo vya Habari itaua Demokrasia-MOAT

Mwenyekiti wa chama cha Wamiliki wa Vyombo vya Habari nchini Tanzania Dk. Reginald Mengi.

Chama cha Wamiliki wa vyombo vya habari nchini (MOAT) kimelalamikia Muswada wa Sheria ya Vyombo vya Habari, na kusema kuwa iwapo muswada huo utapitishwa na kuwa sheria basi itakuwa ni sheria mbovu, yauonevu na yenye kukiuka Katiba ya nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS