Tanzania kuandaa michuano ya tenisi ya kimataifa

Chama cha tenis nchini Tanzania kimeandaa michuano ya wazi ya kimataifa ya tennis ijulikanayo kama Carcian open itakayofanyika mwishoni mwa mwezi huu katika viwanja vya tenisi vya klabu ya Gymkhana jijini Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS