U-13 Juni jijini Mwanza ili kuunda timu ya U-17 Shirikisho la soka nchini TFF limesema linaandaa vijana watakaoweza kushiriki michuano ya Afrika ya vijana chini ya miaka 17 hapo mwaka 2019 ili kuwa na timu bora kama nchi wenyeji wa michuano hiyo. Read more about U-13 Juni jijini Mwanza ili kuunda timu ya U-17