6 wafariki Njombe wakiwemo watano wa familia moja Mkuu Wa Mkoa Wa Njombe Dkt Rehema Nchimbi Watu 6 wamefariki dunia katika matukio mawili tofauti mkoani Njombe Wilayani Ludewa ikiwemo watano wa wa familia moja kufariki katika ajali na mtoto mmoja kuuawa kwa kuchomwa moto. Read more about 6 wafariki Njombe wakiwemo watano wa familia moja