Kipindupindu chazidi kusambaa sasa ni Dar na Moro

Wauguzi katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala wakitoa matibabu kwa wagonjwa wa kipindupindu.

Ugonjwa wa kipindupindu bado unaendelea kusambaa katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam, ambapo hadi kufikia leo kulikuwa na wagonjwa 38, ambao wamelazwa katika kambi maalumu za Mwananyamala na Mburahati.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS