Walimu Chunya hatarini kugongwa na nyoka

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa.

WALIMU wa shule ya msingi Chokaa iliyopo wilayani Chunya mkoani Mbeya wapo hatarini kugongwa na nyoka wenye sumu kali aina ya koboko, kufuatia makazi yao kuwa mbali na shule hali inayopelekea kutembea umbali mrefu eneo la porini kuelekea shuleni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS