Azam FC uso kwa uso na For Mahia fainaliI KAGAME
Klabu ya soka ya Azam fc ya Tanzania kesho inaingia katika fainali ya kombe la klabu bingwa ikiwa na hamu ya kuweka rekodi mpya kwa timu hiyo ambayo imetinga fainali hiyo kwa kishindo baada ya kushinda michezo yake yote ya hatua zilizopita.