Watanzania wawe na imani na Twiga Stars -Mwasikili

Nahodha wa timu ya Twiga Stars, Sophia Mwasikili amesema, wanaamini watafanya vizuri na kuibuka na ushindi katika mashindano ya All African Games yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Septemba nne mwaka huu nchini Congo Brazzaville.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS