Lowassa amaliza ziara ya kutafuta wadhamini

Mgombea Urais wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) Mh. Edward Lowasa

Mgombea Urais wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) Mh Edward Lowasa amekamilisha ziara ya kutafuta wadhamini katika visiwa vya Zanzibar na amewaahidi wananchi wa visiwa hivyo kutumia uwezo wake wote kushughulikia kero.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS