Wakereketwa wa vyama watakiwa kuwa wavumilivu Bendera za vyama vitatu CUF, CHADEMA na CCM Wananchi wametakiwa kuwa na utulivu na kutoshusha bendera za vyama wanavyo vichukia ili kuepusha migongano na vurugu wakati wa kipindi hiki cha uchaguzi. Read more about Wakereketwa wa vyama watakiwa kuwa wavumilivu