TFF KUFUNGIA WIWANJA VISIVYOFIKIA VIGEZO VYA LIGI

Jengo la ofisi ya makao makuu ya shirikisho la soka nchini Tanzania TFF maeneo ya Karume jijini Dar es Salaam.

Shirikisho la soka nchini Tanzania TFF limesema halitaruhusu viwanja vilivyo chini ya viwango vya ubora unaotakiwa kwaajili ya kuchezezwa ligi za soka hapa nchini vitumike kama havijafanyiwa marekebisho kufikia ubora unaotakiwa na shirikisho hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS