Watu 52,000 walijiandikisha zaidi ya mara moja. NEC imefanikiwa kubaini jumla ya majina 52,000 waliojiandikisha zaidi ya mara moja kwenye daftari la kudumu la wapiga kura kupitia mfumo wa Kielektroniki(BVR). Read more about Watu 52,000 walijiandikisha zaidi ya mara moja.