NEC yafunga rasmi Uandikishaji BRV Dar es Salaam
Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imetangaza rasmi kufungwa kwa zoezi la Uandikishaji kwa Mkoa wa Dar es Salaam baada ya kuongeza siku nne na huku wapiga kura milioni 2 laki 8,45, 256 wakiwa wameandikishwa