Real Jofu: Nilimkosa Linah

Staa wa muziki wa Bongofleva Real Jofu

Staa wa muziki wa Bongofleva Real Jofu ambaye ametoa video yake mpya iliyobatizwa jina “Kumbe Ni Ndugu” aliyomshirikisha mwanadada Ney Lee, ameiambia eNewz kuwa awali alipanga kufanya wimbo huo na staa Linah Sanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS