Wakulima waonywa kusaini mikataba ya Kingereza

Mpunga ukiwa umestawi katika mashamba

Wakulima wa mpunga wilayani kyela wameonywa kutokubali kusaini mikataba ambayo imeandikwa kwa lugha ya kiingereza ili kuepuka ulaghai wa wafanyabiashara wanaotaka kuwaletea pembejeo za kilimo ili baadaye wanunue mazao yao kwa bei ya chini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS