Misosi aukubali upepo wa kisiasa
Staa wa miondoko ya bongofleva Bwana Misosi amesema kuwa huu mwaka umekuwa wa kihistoria kutokana na kile ambacho vyama pinzani vinataka kuonesha mabadiliko kuelekea kampeni za wagombea katika nafasi mbalimbali za urais na uongozi nchini.

