
Staa wa miondoko ya Bongofleva Bwana Misosi
Mkali huyo aliyetamba na kibao cha 'Nitoke Vipi' amesema kwa muda huu ambao vuguvugu la uchaguzi mkuu likiendelea nchini, ni wakati mzuri wa kujiandaa na kutoa kazi mpya ikiwemo pia kufanya maandalizi ya kufanya Listening Party ya ngoma hiyo mpya.
