Tanzania,Ethopia zafanikiwa kuzuia ndoa za utotoni

Mama Salma Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wake wa Marais na Wakuu wa nchi za Afrika mara baada ya kikao cha kampeni ya kutokomeza ndoa za utotoni

Tanzania na Ethiopia zimefanikiwa katika kuepusha wasichana kuozwa na badala yake wanaendelea na masomo kutokana na mikakati kadhaa iliyotumika ikiwemo kushirikisha jamii katika mijadala kuhusu umuhimu wa elimu kwa mtoto wa kike.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS